Frashvortex

Tuesday

Kifo cha Ngwair: picha waliyopiga siku ya mwisho, update ya hali ya mwenzie, M2-The-P

Kwa mujibu wa mtandao wa TeenTZ: Marehemu Albert Mangwea “Ngwair” alikua na msanii mwenzake wa bongo flavor ajulikanae kama M2-THE-P miongoni mwa wasanii waliokuwa marafiki wa kundi la CHAMBER SQUAD.

Habari zinasema kua hali ya M2-THE-P sio nzuri na yuko mahututi katika chumba maalumu (I.C.U) ambapo madaktari wamethibitisha kua matumaini ni hafifu ya uhai wake. “hali yake sio nzuri, tumemuwekea mashine ya kupumua na yuko kwa uangalizi wa kina kwa muda wa masaa sita nbaada ya hapo tutaweza kusema nini hatima yake kwa sasa ni hayo tu” – Daktari amenukuliwa.
Source:
BY:MKOLERA

No comments:

Post a Comment