Frashvortex

Friday

SHEREHE ZA MUUNGANO





Hivi ndivyo sherehe za maazimisho ya miaka 49 ya MUUNGANO  zilivyo fana katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam,sherehe hizo zilizo ongozwa na mkuu wa majeshi MH:JAKAYA MRISHO KIKWETE.
Hizi baadhi ya picha,Ndege za kivita zikiwa zinapita katika anga la TANZANIA,JESHI LA WANANCHI ,WANANCHI pamoja na WAGENI WAALIKWA KUTOKA NCHI JIRANI.
                                     %MKOLERA%

No comments:

Post a Comment