Frashvortex

Saturday

GWIJI LA MUSIC KUTOKA PANDE ZA NAIROBI-KENYA AKIFANYA MAANGAMIZI YAKE JANA NDANI YA MAISHA CLUB.






Rapper wa Kenya Jackson Makini aka Prezzo jana usiku alidondosha show ya ukweli kwenye ukumbi wa New Maisha Club ambapo alisindikizwa na wasanii kibao. Miongoni mwa waliompa kampani ni pamoja na maswahiba wake, Mwana FA na AY, TID, Hemedy na Stereo. Hizi ni picha za show hiyo.
                                %MKOLERA%

No comments:

Post a Comment