Frashvortex

Tuesday



Papa Benedict XVI atajiuzulu ifikapo February 28 mwaka huu, muongeaji wake Father Federico Lombardi ameiambia CNN siku ya leo.
Pope mwenye umri wa miaka 85 anajiuzulu kutokana na umri wake  kwenda sana
 "nguvu ya kufikiri kwa akili na mwili ni muhimu sana, nguvu ambayo miezi michache iliyopita imepungua sana kwangu kiasi kwamba nilitambua kutojiweza kwangu kutimiza majukumu yangu." Papa aliwaambia makadinali.
papa wa mwisho kujiuzulu alikua ni Gregory XII, mwaka 1415, na alifanya hivyo kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya kanisa, ambapo zaidi ya mtu mmoja walidai kuwa papa.
Benedict, papa wa 265, ni mjerumani wa 6 kutumikia kama papa, na wakwanza tangu karne ya 11, na  alikuwa papa mwaka 2005
 kuipindi cha papa Benedict kimekua na mtiririko wa skendo na mabishano, ikiwa ni pamoja na mamia ya madai ya unyanyasaji wa kijinsia kutoka kwa wachungaji.

No comments:

Post a Comment